T A N G A Z O

Hakikisha wakati wa kufungua "account" unaandika anwani ya barua pepe (email) sahihi inayotumika.

Ukishindwa kutoa anwani sahihi ya barua pepe, itakua vigumu kupatiwa huduma zifuatazo:

  1. Kupata password mpya na username iwapo utazisahau!

  2. Kukutumia taarifa mbalimbali za kukusaidia unapokwama kwenye zoezi la usajili.

Tunaomba ushirikiano wako katika kutekeleza tangazo hili ili tuweze kukuhudumia ipasavyo.

Kama Umeelewa, Bofya Hapa Uendelee na Usajili